top of page

Rais Ruto azindua Baraza lake la Mawaziri


Rais William Ruto amewatambulisha wateule wake wa Baraza la Mawaziri leo. Picha: William Ruto. Chanzo: Facebook


Wiki mbili baada ya kuapishwa kama mkuu wa tano wa taifa la Kenya, Rais William Ruto mnamo Jumanne aliwatambulisha wajumbe wake wa Baraza la Mawaziri.


Kuzinduliwa kwa baraza la mawaziri kulikuja muda mfupi baada ya kufanya kikao chake cha kwanza cha baraza la mawaziri na waliokuwa makatibu wa baraza la mawaziri waliohudumu chini ya Rais wa zamani Uhuru Kenyatta.


Akihutubia taifa kutoka Ikulu ya Nairobi, Rais aliwafungulia Wakenya wanaume na wanawake aliowakabidhi jukumu la kuwasilisha manifesto yake kwa Wakenya.




Makatibu wa Baraza la Mawaziri walioteuliwa hata hivyo watachunguzwa bungeni.


Hii hapa orodha kamili ya wajumbe wake wa Baraza la Mawaziri:


Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri - Musalia Mudavadi


2. Mambo ya Ndani - Kithure Kindiki


3. Hazina ya Kitaifa-Njuguna Ndung'u


4. Utumishi wa Umma na Jinsia - Aisha Jumwa


5. Ulinzi - Aden Duale


6. Maji, Usafi wa Mazingira na Umwagiliaji - Alice Wahome


7. Mambo ya Nje na Diaspora -Alfred Mutua


8. Biashara - Moses Kuria


9. EAC - Rebecca Miano


10. Barabara - Onesmus Kipchumba Murkomen


11. Ardhi - Zacharia Mwangi Njeru


12. Utalii - Peninah Malonza


13. Kilimo - Mithika Linturi1


4. Elimu - Ezekiel Machogu


15. Nishati na Petroli - Davis Chirchir


16. Michezo - Ababu Namwamba


17. Vyama vya Ushirika na MSMEs - Simon Chelugui


18. Madini - Salim Mvurya


19. Kazi - Florence Bore


20. Afya - Susan Wafula


21. Mawasiliano - Eliud Owalo


22. Mazingira na misitu - Roselinda Soipan Tuya


Mwanasheria Mkuu - Justin Muturi


Mshauri wa Usalama wa Taifa - Monica Juma


Katibu wa baraza la mawaziri - Mercy Wanjau

7 Comments


user
Sep 27, 2022

Sina maoni.... Wacha wapambane na serikali yao. Wakitaka hata kuongeza Stevoh simple boyii wafanye hivyo. Hiyo ni yao. #unbotheredatall!


Like

user
Sep 27, 2022

There's nothing you can do to change the list... Let's continue will our normal hustles as we await the country to stabilize.


Like

user
Sep 27, 2022

Sina maoni kwa sabubu hakuna .mama mboga ,n boda,boda huko

Like

anonymous
Sep 27, 2022

What about Sonko and Muthama 😂😂😂😂

Like

user
Sep 27, 2022

Not sure about Defense! I feel it has gone to unfair hands! Kenyan borders need to be safeguarded with high levels of integrity

Like

Subscribe to Our Newsletter

Thanks for submitting!

Donate with PayPal
  • White Facebook Icon

AfricsMedia © 2023. All rights reserved.

bottom of page